Methali 22:22-23
Methali 22:22-23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Usimnyang'anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni; Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.
Shirikisha
Soma Methali 22Methali 22:22-23 Biblia Habari Njema (BHN)
Usimdhulumu maskini kwa kuwa ni maskini, wala usimnyime fukara haki yake mahakamani. Maana Mwenyezi-Mungu atawatetea; atawapokonya maisha yao wale watakaowadhulumu.
Shirikisha
Soma Methali 22