Zaburi 104:34
Zaburi 104:34 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Mimi nitamfurahia BWANA.
Shirikisha
Soma Zaburi 104Zaburi 104:34 Biblia Habari Njema (BHN)
Upendezwe, ee Mwenyezi-Mungu, na mawazo yangu haya; maana furaha yangu naipata kwako.
Shirikisha
Soma Zaburi 104