Zaburi 125:2
Zaburi 125:2 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Shirikisha
Soma Zaburi 125Zaburi 125:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi-Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele.
Shirikisha
Soma Zaburi 125