Zaburi 14:1
Zaburi 14:1 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa; hakuna hata mmoja atendaye mema.
Shirikisha
Soma Zaburi 14Zaburi 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema!
Shirikisha
Soma Zaburi 14