Zaburi 143:8
Zaburi 143:8 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma, kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako. Nionyeshe njia nitakayoiendea, kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 143Zaburi 143:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Asubuhi unioneshe fadhili zako, maana nimekuwekea tumaini langu. Unifundishe mwenendo wa kufuata, maana nakuelekezea ombi la moyo wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 143