Zaburi 19:9
Zaburi 19:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa.
Shirikisha
Soma Zaburi 19Zaburi 19:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Kumcha Mwenyezi-Mungu ni jambo jema, na la kudumu milele; maagizo ya Mwenyezi-Mungu ni sawa, yote ni ya haki kabisa.
Shirikisha
Soma Zaburi 19