Zaburi 20:7
Zaburi 20:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hawa wanataja magari na hawa farasi, Lakini sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.
Shirikisha
Soma Zaburi 20Zaburi 20:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Wengine hujigamba kwa magari ya vita; wengine hujigamba kwa farasi wao. Lakini sisi twajivunia Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.
Shirikisha
Soma Zaburi 20