Zaburi 22:1
Zaburi 22:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha? Mbona U mbali na wokovu wangu, Na maneno ya kuugua kwangu?
Shirikisha
Soma Zaburi 22Zaburi 22:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Mbona uko mbali sana kunisaidia, mbali na maneno ya kilio changu?
Shirikisha
Soma Zaburi 22