Zaburi 24:3-4
Zaburi 24:3-4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ni nani atakayepanda katika mlima wa BWANA? Ni nani atakayesimama katika patakatifu pake? Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiweka nafsi yake katika uongo, Wala hakuapa kwa hila.
Shirikisha
Soma Zaburi 24Zaburi 24:3-4 Biblia Habari Njema (BHN)
Nani atakayepanda mlima wa Mwenyezi-Mungu? Nani atakayekaa katika hekalu lake takatifu? Ni mtu wa matendo mema na moyo safi, asiyeuelekeza moyo wake katika upuuzi, wala kuapa kwa uongo.
Shirikisha
Soma Zaburi 24