Zaburi 24:8
Zaburi 24:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ni nani Mfalme wa utukufu? BWANA mwenye nguvu, hodari, BWANA hodari wa vita.
Shirikisha
Soma Zaburi 24Zaburi 24:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Ni nani huyo Mfalme mtukufu? Ni Mwenyezi-Mungu, mwenye nguvu na uwezo; Mwenyezi-Mungu, mwenye uwezo vitani.
Shirikisha
Soma Zaburi 24