Zaburi 25:3
Zaburi 25:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Usimwache anayekutumainia apate aibu; lakini waaibike wote wanaokuasi kwa makusudi.
Shirikisha
Soma Zaburi 25Zaburi 25:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja; Wataaibika watendao uhaini bila sababu.
Shirikisha
Soma Zaburi 25