Zaburi 27:5
Zaburi 27:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.
Shirikisha
Soma Zaburi 27Zaburi 27:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Siku ya taabu atanificha bandani mwake; atanificha katika hema lake, na kunisalimisha juu ya mwamba.
Shirikisha
Soma Zaburi 27