Zaburi 40:4
Zaburi 40:4 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake, Wala hakuwaelekea wenye kiburi, Wala hao wanaogeukia uongo.
Shirikisha
Soma Zaburi 40Zaburi 40:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Heri mtu anayemtumainia Mwenyezi-Mungu; mtu asiyejiunga na watu wenye majivuno, watu waliopotoka kwa kuabudu miungu ya uongo.
Shirikisha
Soma Zaburi 40