Zaburi 43:5
Zaburi 43:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Mbona ninahuzunika hivyo moyoni? Kwa nini nahangaika hivyo ndani mwangu? Nitamtumainia Mungu, nitamsifu tena yeye aliye msaada wangu na Mungu wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 43Zaburi 43:5 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 43