Zaburi 49:14 - Linganisha Matoleo Yote
Zaburi 49:14 BHN (Biblia Habari Njema)
Wataongozwa kama kondoo hadi kuzimu, kifo kitakuwa mchungaji wao. Watashuka moja kwa moja kaburini. Miili yao itaozea huko, Kuzimu kutakuwa makao yao.
Shirikisha
Zaburi 49 BHNZaburi 49:14 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama kondoo wamewekwa kwenda kuzimu, Na mauti itawachunga; Watu wanyofu watawamiliki asubuhi; Umbo lao litachakaa, kao lao ni kuzimu.
Shirikisha
Zaburi 49 SUVZaburi 49:14 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kama kondoo wamewekwa kwenda kuzimu, Na kifo kitakuwa mchungaji wao; Watu wanyofu watawamiliki asubuhi; Miili yao itaoza, kao lao ni kuzimu.
Shirikisha
Zaburi 49 SRUVZaburi 49:14 NEN (Neno)
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari.
Shirikisha
Zaburi 49 NEN