Zaburi 6:2
Zaburi 6:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
BWANA, unifadhili, maana ninanyauka; BWANA, uniponye, mifupa yangu imefadhaika.
Shirikisha
Soma Zaburi 6Zaburi 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Unihurumie, ee Mwenyezi-Mungu, nimeishiwa nguvu; uniponye, ee Mwenyezi-Mungu, nataabika mpaka mifupani.
Shirikisha
Soma Zaburi 6