Zaburi 79:9
Zaburi 79:9 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Ee Mungu wa wokovu wetu, utusaidie, Kwa ajili ya utukufu wa jina lako. Utuokoe, utughofiri dhambi zetu, Kwa ajili ya jina lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 79Zaburi 79:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Utusaidie, ee Mungu, mwokozi wetu; kwa heshima ya jina lako utuokoe na kutusamehe dhambi zetu, kwa ajili ya jina lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 79