Zaburi 84:11
Zaburi 84:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu ni jua letu na ngao yetu; yeye hutuneemesha na kutujalia fahari. Hawanyimi chochote kilicho chema, wale waishio kwa unyofu.
Shirikisha
Soma Zaburi 84Zaburi 84:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.
Shirikisha
Soma Zaburi 84