Zaburi 99:1
Zaburi 99:1 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
BWANA ametamalaki, mataifa wanatetemeka; Ameketi juu ya makerubi, nchi inatikisika.
Shirikisha
Soma Zaburi 99Zaburi 99:1 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
BWANA anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
Shirikisha
Soma Zaburi 99