Ufunuo 1:8
Ufunuo 1:8 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.”
Shirikisha
Soma Ufunuo 1Ufunuo 1:8 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu Mwenye Nguvu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja.
Shirikisha
Soma Ufunuo 1Ufunuo 1:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.
Shirikisha
Soma Ufunuo 1