Ufunuo 10:1
Ufunuo 10:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kisha nikaona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni, amevikwa wingu; na upinde wa mvua juu ya kichwa chake; na uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake kama nguzo za moto.
Shirikisha
Soma Ufunuo 10Ufunuo 10:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
Shirikisha
Soma Ufunuo 10