Ufunuo 10:11
Ufunuo 10:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakaniambia, Imekupasa kutoa unabii tena juu ya watu na taifa na lugha na wafalme wengi.
Shirikisha
Soma Ufunuo 10Ufunuo 10:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, nikaambiwa, “Inakubidi tena kutoa unabii kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!”
Shirikisha
Soma Ufunuo 10