Ufunuo 14:1
Ufunuo 14:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kisha nikaona, na tazama, huyo Mwana-kondoo amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu elfu mia moja na arubaini na nne pamoja naye, wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
Shirikisha
Soma Ufunuo 14Ufunuo 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, nikaona mlima Siyoni na Mwanakondoo amesimama juu yake; pamoja naye walikuwa watu 144,000 ambao juu ya paji za nyuso zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake.
Shirikisha
Soma Ufunuo 14