Ufunuo 16:14
Ufunuo 16:14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Shirikisha
Soma Ufunuo 16Ufunuo 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Hawa ndio roho za pepo wafanyao miujiza. Ndio wanaokwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya pamoja kwa ajili ya vita ya ile siku kubwa ya Mungu Mwenye Nguvu.
Shirikisha
Soma Ufunuo 16