Ufunuo 2:5
Ufunuo 2:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.
Shirikisha
Soma Ufunuo 2Ufunuo 2:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukatubu na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako cha taa mahali pake.
Shirikisha
Soma Ufunuo 2