Ufunuo 7:17
Ufunuo 7:17 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji wao; naye atawaongoza kwenda kwenye chemchemi za maji yaliyo hai. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka macho yao.”
Shirikisha
Soma Ufunuo 7Ufunuo 7:17 Biblia Habari Njema (BHN)
kwa sababu Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uhai. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao.”
Shirikisha
Soma Ufunuo 7