Waroma 13:1
Waroma 13:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 13Waroma 13:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 13