Waroma 5:10 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 5:10 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana, tulipokuwa bado maadui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uhai wa Kristo.
Shirikisha
Waroma 5 BHNWaroma 5:10 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.
Shirikisha
Waroma 5 SUVWaroma 5:10 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.
Shirikisha
Waroma 5 SRUVWaroma 5:10 NEN (Neno)
Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kupitia kwa kifo cha Mwanawe, si zaidi sana baada ya kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake.
Shirikisha
Waroma 5 NEN