Waroma 5:19
Waroma 5:19 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.
Shirikisha
Soma Waroma 5Waroma 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Na kama kwa kutokutii kwa mtu mmoja watu wengi walifanywa wenye dhambi, kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi kuwa waadilifu.
Shirikisha
Soma Waroma 5