Waroma 8:38 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 8:38 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: Wala kifo, wala uhai; wala malaika au nguvu nyingine za mbinguni; wala yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka
Shirikisha
Waroma 8 BHNWaroma 8:38 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo
Shirikisha
Waroma 8 SUVWaroma 8:38 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo
Shirikisha
Waroma 8 SRUVWaroma 8:38 NEN (Neno)
Kwa maana nimekwisha kujua kwa hakika ya kuwa sio mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuja, wala wenye uwezo
Shirikisha
Waroma 8 NEN