Waroma 8:5
Waroma 8:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho.
Shirikisha
Soma Waroma 8Waroma 8:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya mwili, hutawaliwa na fikira za mwili. Lakini wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya Roho Mtakatifu, hutawaliwa na fikira za Roho.
Shirikisha
Soma Waroma 8