Waroma 8:7
Waroma 8:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
Shirikisha
Soma Waroma 8Waroma 8:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii.
Shirikisha
Soma Waroma 8