Zekaria 3:4
Zekaria 3:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naye malaika akajibu, akawaambia wale waliosimama mbele yake, akisema, Mvueni nguo hizi chafu. Kisha akamwambia yeye, Tazama, nimekuondolea uovu wako, nami nitakuvika mavazi ya thamani kubwa.
Shirikisha
Soma Zekaria 3Zekaria 3:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Malaika akawaambia watumishi wake, “Mvueni kuhani mkuu Yoshua mavazi yake machafu.” Kisha akamwambia kuhani mkuu Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakupa mavazi ya thamani.”
Shirikisha
Soma Zekaria 3