Zekaria 6:12
Zekaria 6:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
ukamwambie, ukisema, BWANA wa majeshi asema hivi, ya kwamba, Tazama, mtu huyu ndiye ambaye jina lake ni Chipukizi; naye atakua katika mahali pake, naye atalijenga hekalu la BWANA.
Shirikisha
Soma Zekaria 6Zekaria 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)
na kumwambia kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: ‘Hapa pana mtu aitwaye Tawi. Yeye atastawi hapo alipo na kulijenga hekalu langu mimi Mwenyezi-Mungu.
Shirikisha
Soma Zekaria 6