Sefania 3:20
Sefania 3:20 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakati huo nitawaingizeni, na wakati huo nitawakusanya; kwa maana nitawafanya ninyi msifiwe na mjulikane, miongoni mwa watu wote wa dunia, nitakapowarudisha wafungwa wenu mbele ya macho yenu, asema BWANA.
Shirikisha
Soma Sefania 3Sefania 3:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakati huo nitawakusanya, na kuwafanya mjulikane na kusifiwa, miongoni mwa watu wote duniani nitakapowarudishia hali yenu njema nanyi muone kwa macho yenu wenyewe. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”
Shirikisha
Soma Sefania 3