Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hasira na Chuki

Hasira na Chuki

7 Siku

Hasira ni jambo kila mtu hukabiliana nayo wakati fulani. Mpangilio hii ya siku saba itakupa mtazamo wa bibilia kwa kusoma kifungu kidogo kila siku. Soma kifungu, jichambue kwa uaminifu na wacha Mungu akuongoze.

Mpango huu uliundwa na LifeChurch.tv.
Kuhusu Mchapishaji