1
Mwanzo 16:13
Swahili Revised Union Version
Akampa jina BWANA aliyesema naye, “Wewe U Mungu uonaye,” kwani alisema, “Kweli nimemwona Mungu na nikaendelea kuishi baada ya kumuona?”
Karşılaştır
Mwanzo 16:13 keşfedin
2
Mwanzo 16:11
Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:11 keşfedin
3
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda mwitu kati ya watu, mkono wake utapingana na watu wote na mkono wa kila mtu ukipingana naye; na ataishi kwa ugomvi na jamaa yake yote.
Mwanzo 16:12 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar