1
Luka 18:1
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.
አወዳድር
{{ጥቅስ}} ያስሱ
2
Luka 18:7-8
Je, ndio kusema Mungu hatawatetea wale aliowachagua, ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwasikiliza? Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?”
3
Luka 18:27
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”
4
Luka 18:4-5
Kwa muda mrefu huyo hakimu hakupenda kumtetea huyo mjane; lakini, mwishowe akajisemea: ‘Ingawa mimi simchi Mungu wala simjali binadamu, lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha kabisa!’”
5
Luka 18:17
Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hataingia katika ufalme huo.”
6
Luka 18:16
Lakini Yesu akawaita kwake akisema: “Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu kama hawa.
7
Luka 18:42
Yesu akamwambia, “Ona! Imani yako imekuponya.”
8
Luka 18:19
Yesu akamwambia, “Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.
ቤት
መጽሐፍ ቅዱስ
እቅዶች
ቪዲዮዎች