1
Mattayo MT. 3:8
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Zaeni bassi matunda yaipasayo toba
አወዳድር
{{ጥቅስ}} ያስሱ
2
Mattayo MT. 3:17
na sauti toka mbinguni ikinena, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninaependezwa nae.
3
Mattayo MT. 3:16
Nae Yesu alipokwisha kubatizwa marra akapanda kutoka majini: mbingu zikamfunukia, akamwona Roho ya Mungu akishuka kama hua, akija juu yake
4
Mattayo MT. 3:11
Mimi nawabatizeni katika maji mpate kutubu: bali yeye ajae nyuma yangu ni hodari kuliko mimi, wala sistahili hatta kuchukua viatu vyake; yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
5
Mattayo MT. 3:10
Nalo shoka limekwisha kuwekwa penye shina la miti; bassi killa mti usiozaa matunda mazuri unakatwa na kutupwa motoni.
6
Mattayo MT. 3:3
Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti yake apigae mbin jangwani, Itengenezeni njia ya Bwana, Nyosheni mapito yake.
ቤት
መጽሐፍ ቅዱስ
እቅዶች
ቪዲዮዎች