1
1 Mose 16:13
Swahili Roehl Bible 1937
Ndipo, alipomwita Bwana aliyesema naye jina lake: Wewe Mungu unaniona, kwani alisema: Kumbe nami nimemwona, aliponitazama.
አወዳድር
{{ጥቅስ}} ያስሱ
2
1 Mose 16:11
Malaika wa Bwana akaendelea kumwambia: Ninakuona kuwa mwenye mimba. Mwana, utakayemzaa, mwite jina lake Isimaeli (Mungu husikia), kwa kuwa Bwana amekusikia, ulipomlalamikia kwa kuteseka.
3
1 Mose 16:12
Naye atakuwa mwenye ukali kama punda wa porini, mkono wake utawapingia watu wote, nayo mikono yao wote itampingia yeye, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
ቤት
መጽሐፍ ቅዱስ
እቅዶች
ቪዲዮዎች