1
Mit 13:20
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.
Compare
Explore Mit 13:20
2
Mit 13:3
Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
Explore Mit 13:3
3
Mit 13:24
Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
Explore Mit 13:24
4
Mit 13:12
Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.
Explore Mit 13:12
5
Mit 13:6
Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.
Explore Mit 13:6
6
Mit 13:11
Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.
Explore Mit 13:11
7
Mit 13:10
Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.
Explore Mit 13:10
8
Mit 13:22
Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.
Explore Mit 13:22
9
Mit 13:1
Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
Explore Mit 13:1
10
Mit 13:18
Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa; Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.
Explore Mit 13:18
Home
Bible
Plans
Videos