1
Matendo ya Mitume 10:34-35
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Basi Petro akaanza kuhubiri, akisema: “Sasa ninafahamu kwamba Mungu hana upendeleo, lakini katika kila taifa mutu yeyote anayemutii Mungu na kutenda yanayokuwa ya haki, anamupendeza.
Compare
Explore Matendo ya Mitume 10:34-35
2
Matendo ya Mitume 10:43
Manabii wote wanamushuhudia Yesu kwamba kila mutu anayemwamini atasamehewa zambi zake kwa uwezo wa jina lake.”
Explore Matendo ya Mitume 10:43
Home
Bible
Plans
Videos