YouVersion Logo
Search Icon

Zaburi 1:1-2

Zaburi 1:1-2 NEN

Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha. Bali huifurahia sheria ya BWANA, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

Video for Zaburi 1:1-2