1
Yohana 10:10
Swahili Revised Union Version
Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu; mimi nilikuja ili wawe na uzima, tena wawe nao tele.
مقایسه
Yohana 10:10 را جستجو کنید
2
Yohana 10:11
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Yohana 10:11 را جستجو کنید
3
Yohana 10:27
Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
Yohana 10:27 را جستجو کنید
4
Yohana 10:28
Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Yohana 10:28 را جستجو کنید
5
Yohana 10:9
Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Yohana 10:9 را جستجو کنید
6
Yohana 10:14
Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi
Yohana 10:14 را جستجو کنید
7
Yohana 10:29-30
Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu. Mimi na Baba tu mmoja.
Yohana 10:29-30 را جستجو کنید
8
Yohana 10:15
kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
Yohana 10:15 را جستجو کنید
9
Yohana 10:18
Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nililipokea kwa Baba yangu.
Yohana 10:18 را جستجو کنید
10
Yohana 10:7
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Yohana 10:7 را جستجو کنید
11
Yohana 10:12
Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwamwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.
Yohana 10:12 را جستجو کنید
12
Yohana 10:1
Yesu aliwaambia, Amin, amin, nawaambieni, Yeye asiyeingia mlangoni katika zizi la kondoo, lakini akwea penginepo, huyo ni mwizi naye ni mnyang'anyi.
Yohana 10:1 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها