1
Yohana MT. 13:34-35
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Amri mpya nawapeni, mpendane; kama vile nilivyowapenda ninyi, na ninyi mpendane vivyo hivyo. Hivi watu wote watajua ya kuwa m wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi.
مقایسه
Yohana MT. 13:34-35 را جستجو کنید
2
Yohana MT. 13:14-15
Bassi ikiwa mimi, niliye Bwana na Mwalimu, nimewatawadha miguu, imewapasa ninyi nanyi kutawadhana miguu. Kwa kuwa nimewapeni mfano illi hayo niliyowatendea ninyi, na ninyi mtende yayo hayo.
Yohana MT. 13:14-15 را جستجو کنید
3
Yohana MT. 13:7
Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyayo mimi, wewe huyafahamu sasa; lakini utayajua baadae.
Yohana MT. 13:7 را جستجو کنید
4
Yohana MT. 13:16
Amin, amin, nawaambieni, Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake: wala mtume si mkuu kuliko yeye aiiyempeleka.
Yohana MT. 13:16 را جستجو کنید
5
Yohana MT. 13:17
Mkiyajua hayo, m kheri mkiyatenda.
Yohana MT. 13:17 را جستجو کنید
6
Yohana MT. 13:4-5
akaondoka chakulani, akaweka kando mavazi yake, akatwaa kitambaa, akajifungia. Kiisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwatawadha wanafunzi miguu yao, na kuifuta kwa kile kitambaa alichojifungia.
Yohana MT. 13:4-5 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها