Yohana MT. 8:10-11

Yohana MT. 8:10-11 SWZZB1921

Yesu akajiinua asimwone mtu illa yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Hapana aliyekuhukumu? Akamwambia, Hapana Bwana. Yesu akamwambia, Nami sikuhukumu. Enenda, wala usitende dhambi tena.

مطالعه Yohana MT. 8