YouVersion-logo
RaamattuSuunnitelmatVideot
Hanki sovellus
Kielen valitsin
Hakukuvake

Suosittuja jakeita Raamatun kirjasta Mattayo MT. 12

1

Mattayo MT. 12:36-37

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Vertaa

Tutki Mattayo MT. 12:36-37

2

Mattayo MT. 12:34

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.

Vertaa

Tutki Mattayo MT. 12:34

3

Mattayo MT. 12:35

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa mema: na mtu mbaya katika hazina yake mbaya hutoa mabaya

Vertaa

Tutki Mattayo MT. 12:35

4

Mattayo MT. 12:31

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Kwa sababu hii nawaambieni, Killa dhambi na killa neno la kufuru watasamehewa wana Adamu, bali kumtukana Roho hawatasamehewa wana Adamu.

Vertaa

Tutki Mattayo MT. 12:31

5

Mattayo MT. 12:33

New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

SWZZB1921

Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.

Vertaa

Tutki Mattayo MT. 12:33

Ilmaiset lukusuunnitelmat ja hartaudet liittyen aiheeseen Mattayo MT. 12

Edellinen luku
Seuraava luku
YouVersion

Rohkaisemassa ja haastamassa sinua etsimään läheisyyttä Jumalan kanssa joka päivä.

Palvelutehtävä

Tietoa

Uramahdollisuudet

Vapaaehtoiseksi

Blogi

Lehdistö

Hyödyllisiä linkkejä

Apua

Lahjoita

Raamatunkäännökset

Ääniraamatut

Kielet

Päivän jae


Digitaalinen palvelutehtävä

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

YksityisyyskäytännötKäyttöehdot
Haavoittuvuuden paljastamisohjelma
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Koti

Raamattu

Suunnitelmat

Videot