1
Yoane 3:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Kwa maana Mungu alipenda sana ulimwengu hata kumutoa Mwana wake wa pekee, kusudi kila mutu anayemwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele.
Összehasonlít
Fedezd fel: Yoane 3:16
2
Yoane 3:17
Mungu hakumutuma Mwana wake katika ulimwengu kusudi ahukumu ulimwengu, lakini kusudi ulimwengu uokolewe naye.
Fedezd fel: Yoane 3:17
3
Yoane 3:3
Yesu akamujibu: “Kweli, kweli ninakuambia: mutu hawezi kuingia katika Ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”
Fedezd fel: Yoane 3:3
4
Yoane 3:18
Anayemwamini Mwana hahukumiwi, lakini asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Fedezd fel: Yoane 3:18
5
Yoane 3:19
Hukumu inatokana na hivi: mwangaza umekuja katika ulimwengu, lakini watu wanapenda giza kuliko mwangaza, kwa sababu matendo yao ni mabaya.
Fedezd fel: Yoane 3:19
6
Yoane 3:30
Sherti utukufu wake uzidi na wangu upunguke.
Fedezd fel: Yoane 3:30
7
Yoane 3:20
Kila mutu anayefanya mabaya anachukia mwangaza, naye anakataa kuja kwenye mwangaza, kusudi matendo yake yasionekane wazi.
Fedezd fel: Yoane 3:20
8
Yoane 3:36
Anayemwamini Mwana yuko na uzima wa milele. Anayekataa kumwamini Mwana hatapata uzima; atakaa akipatwa na kasirani ya Mungu.”
Fedezd fel: Yoane 3:36
9
Yoane 3:14
Sawa Musa alivyonyanyua nyoka ya shaba juu ya muti katika jangwa, ni hivi vilevile, sherti Mwana wa Mutu anyanyuliwe
Fedezd fel: Yoane 3:14
10
Yoane 3:35
Baba anamupenda Mwana wake, naye ameweka vitu vyote kwa mukono wake.
Fedezd fel: Yoane 3:35
Kezdőoldal
Biblia
Tervek
Videók