1
Mwanzo 19:26
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Lakini mkewe Loti aliyekuwa nyuma ya Loti, akatazama nyuma, akageuka nguzo ya chumvi.
താരതമ്യം
Mwanzo 19:26 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mwanzo 19:16
Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji.
Mwanzo 19:16 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mwanzo 19:17
Walipowatoa nje ya mji, malaika mmoja wao akawaambia, “Kimbieni kwa usalama wenu. Msiangalie nyuma wala kusimama popote bondeni. Kimbilieni milimani, msije mkaangamia.”
Mwanzo 19:17 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mwanzo 19:29
Mungu alipoiangamiza miji ya bondeni alimokuwa anakaa Loti, alimkumbuka Abrahamu kwa kumtoa Loti katika miji hiyo, ili Loti asije akaangamia pamoja nayo.
Mwanzo 19:29 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക