1
Yohana 3:16
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
तुलना करा
एक्सप्लोर करा Yohana 3:16
2
Yohana 3:17
Kwa maana Mungu hakumtuma Mwanawe kuuhukumu ulimwengu, bali kupitia kwake ulimwengu upate kuokolewa.
एक्सप्लोर करा Yohana 3:17
3
Yohana 3:3
Isa akamjibu, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu anayeweza kuuona ufalme wa Mungu kama hajazaliwa mara ya pili.”
एक्सप्लोर करा Yohana 3:3
4
Yohana 3:18
Yeyote amwaminiye hahukumiwi, lakini asiyeamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
एक्सप्लोर करा Yohana 3:18
5
Yohana 3:19
Hii ndiyo hukumu: Kwamba nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko nuru, kwa sababu matendo yao ni maovu.
एक्सप्लोर करा Yohana 3:19
6
Yohana 3:30
Yeye hana budi kuwa mkuu zaidi na mimi nizidi kupungua.
एक्सप्लोर करा Yohana 3:30
7
Yohana 3:20
Kwa kuwa kila atendaye maovu huchukia nuru, wala haji kwenye nuru ili matendo yake maovu yasifichuliwe.
एक्सप्लोर करा Yohana 3:20
8
Yohana 3:36
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.”
एक्सप्लोर करा Yohana 3:36
9
Yohana 3:14
Kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka kule jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu
एक्सप्लोर करा Yohana 3:14
10
Yohana 3:35
Baba anampenda Mwana, naye ametia vitu vyote mkononi mwake.
एक्सप्लोर करा Yohana 3:35
मुख्य
बायबल
योजना
व्हिडिओ